Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 9:41-44 Biblia Habari Njema (BHN)

41. Mika alikuwa na wana wanne: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

42. Ahazi alimzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa,

43. Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, Refaya akamzaa Eleasa, naye Eleasa akamzaa Aseli.

44. Aseli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hamani. Hawa wote walikuwa wana wa Aseli.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 9