Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 9:35-40 Biblia Habari Njema (BHN)

35. Yeieli alikuwa mwanzilishi wa mji wa Gibeoni ambamo aliishi yeye pamoja na mkewe, jina lake Maaka.

36. Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Abdoni, naye alifuatiwa na Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,

37. Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.

38. Miklothi alimzaa Shimeamu. Wazawa wao waliishi Yerusalemu karibu na jamaa nyingine za koo zao.

39. Neri alimzaa Kishi, naye Kishi akamzaa Shauli. Shauli alikuwa na wana wanne: Yonathani, Malki-shua, Abinadabu na Eshbaali.

40. Yonathani alimzaa Merib-baali, Merib-baali akamzaa Mika.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 9