Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 9:3-9 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Baadhi ya watu wa makabila ya Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase walikwenda kuishi mjini Yerusalemu:

4. Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.

5. Na wazawa wa Shilo, Asaya mzaliwa wa kwanza, kiongozi na wanawe.

6. Na wazawa wa Zera, Yeueli, na ndugu zao; watu 690.

7. Na wa wazawa wa Benyamini: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;

8. na Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela, mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu, mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya;

9. na ndugu zao, sawasawa na vizazi vyao; watu956. Watu hao wote ndio waliokuwa wakuu wa koo za baba zao, kwa kadiri ya koo za baba zao.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 9