Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 8:30-37 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Abdoni. Wanawe wengine ni Zuri, Kishi, Baali, Nadabu,

31. Gedori, Ahio, Zekeri,

32. na Miklothi baba yake Shimea. Hawa pia waliishi Yerusalemu karibu na watu wengine wa ukoo wao.

33. Neri alimzaa Kishi, Kishi akamzaa Shauli. Shauli alikuwa na wana wanne: Yonathani, Malki-shua, Abinadabu na Eshbaali.

34. Yonathani alimzaa Merib-baali, na Merib-baali akamzaa Mika.

35. Mika alikuwa na wana wanne: Pithoni, Meleki, Terea na Ahazi.

36. Ahazi alimzaa Yehoada. Naye Yehoada aliwazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri. Zimri alimzaa Mosa.

37. Mosa alimzaa Binea, aliyemzaa Rafa, aliyemzaa Eleasa, naye Eleasa akamzaa Aseli.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 8