Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 8:20-31 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Elienai, Zilethai, Elieli,

21. Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wazawa wa Shimei.

22. Ishpani, Eberi, Elieli,

23. Abdoni, Zikri, Hanani,

24. Hanania, Elamu, Anthothiya,

25. Ifdeya na Penueli walikuwa wazawa wa Shashaki.

26. Shamsherai, Sheharia, Athalia,

27. Yaareshia, Elia na Zikri walikuwa baadhi ya wazawa wa Yerohamu.

28. Hao ndio waliokuwa wakuu wa koo zao kulingana na vizazi vyao. Walikuwa wakuu na waliishi Yerusalemu.

29. Yeieli, alikuwa mwanzilishi wa mji wa Gibeoni. Mkewe alikuwa Maaka.

30. Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Abdoni. Wanawe wengine ni Zuri, Kishi, Baali, Nadabu,

31. Gedori, Ahio, Zekeri,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 8