Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 8:10-20 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Yeuzi, Sakia, na Mirma. Hawa wanawe wote walikuja kuwa wakuu wa koo.

11. Shaharaimu na mkewe Hushimu alipata wana wengine wawili: Abitubu na Elpaali.

12. Wana wa Elpaali walikuwa watatu: Eberi, Mishamu na Shemedi ambaye aliijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji kandokando yake.

13. Beria na Shema walikuwa miongoni mwa jamaa ambazo zilikuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na kuwafukuza wenyeji wa Gathi.

14. Nao Ahio, Shashaki, Yeremothi,

15. Zebadia, Aradi, Ederi,

16. Mikaeli, Ishpa na Yoha ni wazawa wengine wa Beria.

17. Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,

18. Ishnerai, Izlia na Yobabu walikuwa wazawa wa Epaali.

19. Yakimu, Zikri, Zabdi,

20. Elienai, Zilethai, Elieli,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 8