Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 7:35-40 Biblia Habari Njema (BHN)

35. Na Helemu, ndugu yake mwingine, alikuwa na wana wanne: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.

36. Wana wa Sofa walikuwa Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,

37. Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.

38. Wana wa Yetheri walikuwa Yefune, Pispa na Ara.

39. Wana wa Ula walikuwa Ara, Hanieli na Risia.

40. Hao wote walikuwa wazawa wa Asheri na walikuwa wakuu wa jamaa zao, watu wateule na hodari wa vita. Idadi ya wale walioandikishwa kwa kufuata koo katika jeshi ilikuwa 26,000.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 7