31. Beria alikuwa na wana wawili: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
32. Heberi alikuwa na wana watatu: Yafleti, Shomeri na Hothamu, na binti mmoja jina lake Shua.
33. Yafleti pia alikuwa na wana watatu: Pasaki, Bimhali na Ashvathi.
34. Shemeri, nduguye, alikuwa na wana watatu: Roga, Yehuba na Aramu.
35. Na Helemu, ndugu yake mwingine, alikuwa na wana wanne: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
36. Wana wa Sofa walikuwa Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,