Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 7:31-36 Biblia Habari Njema (BHN)

31. Beria alikuwa na wana wawili: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.

32. Heberi alikuwa na wana watatu: Yafleti, Shomeri na Hothamu, na binti mmoja jina lake Shua.

33. Yafleti pia alikuwa na wana watatu: Pasaki, Bimhali na Ashvathi.

34. Shemeri, nduguye, alikuwa na wana watatu: Roga, Yehuba na Aramu.

35. Na Helemu, ndugu yake mwingine, alikuwa na wana wanne: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.

36. Wana wa Sofa walikuwa Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 7