Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 7:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Efraimu alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliyeijenga miji ya Beth-horoni ya juu na chini, na Uzen-sheera.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 7

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 7:24 katika mazingira