Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 6:9-15 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,

10. na Yohanani akamzaa Azaria. (Azaria ndiye aliyefanya kazi ya ukuhani katika hekalu alilojenga mfalme Solomoni huko Yerusalemu).

11. Azaria alimzaa Amaria, Amaria alimzaa Ahitubu,

12. Ahitubu alimzaa Sadoki, Sadoki alimzaa Meshulamu,

13. Meshulamu alimzaa Hilkia, Hilkia alimzaa Azaria,

14. Azaria alimzaa Seraya, Seraya alimzaa Yehosadaki;

15. Yehosadaki alikwenda uhamishoni wakati Mwenyezi-Mungu alipowapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa kuutumia mkono wa mfalme Nebukadneza.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 6