Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 6:6-17 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,

7. Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,

8. Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,

9. Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,

10. na Yohanani akamzaa Azaria. (Azaria ndiye aliyefanya kazi ya ukuhani katika hekalu alilojenga mfalme Solomoni huko Yerusalemu).

11. Azaria alimzaa Amaria, Amaria alimzaa Ahitubu,

12. Ahitubu alimzaa Sadoki, Sadoki alimzaa Meshulamu,

13. Meshulamu alimzaa Hilkia, Hilkia alimzaa Azaria,

14. Azaria alimzaa Seraya, Seraya alimzaa Yehosadaki;

15. Yehosadaki alikwenda uhamishoni wakati Mwenyezi-Mungu alipowapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa kuutumia mkono wa mfalme Nebukadneza.

16. Lawi alikuwa na wana watatu: Gershomu, Kohathi na Merari.

17. Kila mmoja wao pia alikuwa na wana. Gershomu aliwazaa Libni na Shimei;

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 6