34. mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
35. mwana wa Zufu, mwana wa Elkana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
36. mwana wa Elkana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
37. mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
38. mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.
39. Asafu, ndugu yake alikuwa upande wake wa kulia. Ukoo wake kutokana na Lawi: Asafu, mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,