Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 6:33-42 Biblia Habari Njema (BHN)

33. Zifuatazo ni koo za wale ambao walitoa huduma hizo: Ukoo wa Kohathi: Hemani, kiongozi wa kundi la kwanza la waimbaji, alikuwa mwana wa Yoeli. Ukoo wake kutokana na Israeli ni kama ifuatavyo: Hemani, mwana wa Yoeli, mwana wa Samueli,

34. mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

35. mwana wa Zufu, mwana wa Elkana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,

36. mwana wa Elkana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,

37. mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,

38. mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.

39. Asafu, ndugu yake alikuwa upande wake wa kulia. Ukoo wake kutokana na Lawi: Asafu, mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,

40. mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,

41. mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,

42. mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 6