Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 6:32-37 Biblia Habari Njema (BHN)

32. Walifanya kazi yao ya kuimba mbele ya hema takatifu la mkutano hadi wakati mfalme Solomoni alipojenga hekalu la Mwenyezi-Mungu huko Yerusalemu. Waliutekeleza wajibu wao barabara, kwa zamu.

33. Zifuatazo ni koo za wale ambao walitoa huduma hizo: Ukoo wa Kohathi: Hemani, kiongozi wa kundi la kwanza la waimbaji, alikuwa mwana wa Yoeli. Ukoo wake kutokana na Israeli ni kama ifuatavyo: Hemani, mwana wa Yoeli, mwana wa Samueli,

34. mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

35. mwana wa Zufu, mwana wa Elkana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,

36. mwana wa Elkana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,

37. mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 6