Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 6:1-5 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Lawi alikuwa na wana watatu: Gershomu, Kohathi na Merari.

2. Kohathi alikuwa na wana wanne: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

3. Amramu alikuwa na wana wawili: Aroni na Mose, na binti mmoja jina lake Miriamu.Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

4. Eleazari alimzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,

5. Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 6