1. Lawi alikuwa na wana watatu: Gershomu, Kohathi na Merari.
2. Kohathi alikuwa na wana wanne: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
3. Amramu alikuwa na wana wawili: Aroni na Mose, na binti mmoja jina lake Miriamu.Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
4. Eleazari alimzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
5. Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,