Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 6:1-12 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Lawi alikuwa na wana watatu: Gershomu, Kohathi na Merari.

2. Kohathi alikuwa na wana wanne: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

3. Amramu alikuwa na wana wawili: Aroni na Mose, na binti mmoja jina lake Miriamu.Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

4. Eleazari alimzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,

5. Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,

6. Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,

7. Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,

8. Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,

9. Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,

10. na Yohanani akamzaa Azaria. (Azaria ndiye aliyefanya kazi ya ukuhani katika hekalu alilojenga mfalme Solomoni huko Yerusalemu).

11. Azaria alimzaa Amaria, Amaria alimzaa Ahitubu,

12. Ahitubu alimzaa Sadoki, Sadoki alimzaa Meshulamu,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 6