Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 5:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mungu wa Israeli akamfanya Pulu, mfalme wa Ashuru, (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-pileseri), aivamie nchi yao na kuwachukua mateka hao Wareubeni, Wagadi na nusu Manase ya mashariki mpaka uhamishoni huko Hala, Habori na Hara, kando ya mto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 5

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 5:26 katika mazingira