Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 5:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafuatao ndio waliokuwa wakuu wa koo za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yadieli. Wote walikuwa askari shujaa, watu mashuhuri sana na viongozi katika koo hizo.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 5

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 5:24 katika mazingira