Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 3:6-14 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Na mbali na hao alikuwa na wana wengine tisa: Ibhari, Elishua, Elifaleti,

7. Noga, Nefegi, Yafia,

8. Elishama, Eliada na Elifeleti.

9. Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wengine waliozaliwa na masuria wake. Daudi alikuwa na binti pia, aliyeitwa Tamari.

10. Wazawa wa mfalme Solomoni: Solomoni alimzaa Rehoboamu, aliyemzaa Abiya, aliyemzaa Asa, aliyemzaa Yehoshafati,

11. aliyemzaa Yehoramu, aliyemzaa Ahazia, aliyemzaa Yoashi,

12. aliyemzaa Amazia, aliyemzaa Uzia, aliyemzaa Yothamu,

13. aliyemzaa Ahazi, aliyemzaa Hezekia, aliyemzaa Manase,

14. aliyemzaa Amoni, aliyemzaa Yosia.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 3