Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 3:2-7 Biblia Habari Njema (BHN)

2. wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, bintiye Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne alikuwa Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;

3. wa tano alikuwa Shefatia, ambaye mama yake alikuwa Abitali; na wa sita alikuwa Ithreamu, ambaye mama yake alikuwa Egla.

4. Wote sita, walizaliwa Hebroni ambako Daudi alitawala kwa muda wa miaka saba na nusu. Huko Yerusalemu, alitawala kwa muda wa miaka thelathini na mitatu.

5. Wafuatao ni wana wa mfalme Daudi alipokuwa Yerusalemu: Mkewe Bathshua, bintiye Amieli, alimzalia wana wanne: Himea, Shobabu, Nathani na Solomoni.

6. Na mbali na hao alikuwa na wana wengine tisa: Ibhari, Elishua, Elifaleti,

7. Noga, Nefegi, Yafia,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 3