Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 3:18-24 Biblia Habari Njema (BHN)

18. Malkiramu, Pedaya, Shenazari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

19. Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Zerubabeli alikuwa na wana wawili: Meshulamu na Hanania, na binti mmoja, jina lake Shelomithi.

20. Zerubabeli pia alikuwa na wana wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-hesedi.

21. Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Yeshaya alimzaa Refaya, aliyemzaa Arnani, aliyemzaa Obadia, aliyemzaa Shekania.

22. Shekania alimzaa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa sita: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati.

23. Nearia alikuwa na wana watatu: Eliehonai, Hizkia na Azrikamu.

24. Eliehonai alikuwa na wana saba: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 3