Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 3:14-20 Biblia Habari Njema (BHN)

14. aliyemzaa Amoni, aliyemzaa Yosia.

15. Yosia alikuwa na wana wanne: Yohanani, mzaliwa wake wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia na wa nne Shalumu.

16. Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.

17. Wana wa Yekonia aliyechukuliwa mateka na Wababuloni walikuwa saba: Shealtieli,

18. Malkiramu, Pedaya, Shenazari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

19. Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Zerubabeli alikuwa na wana wawili: Meshulamu na Hanania, na binti mmoja, jina lake Shelomithi.

20. Zerubabeli pia alikuwa na wana wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-hesedi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 3