Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 3:13-18 Biblia Habari Njema (BHN)

13. aliyemzaa Ahazi, aliyemzaa Hezekia, aliyemzaa Manase,

14. aliyemzaa Amoni, aliyemzaa Yosia.

15. Yosia alikuwa na wana wanne: Yohanani, mzaliwa wake wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia na wa nne Shalumu.

16. Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.

17. Wana wa Yekonia aliyechukuliwa mateka na Wababuloni walikuwa saba: Shealtieli,

18. Malkiramu, Pedaya, Shenazari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 3