13. aliyemzaa Ahazi, aliyemzaa Hezekia, aliyemzaa Manase,
14. aliyemzaa Amoni, aliyemzaa Yosia.
15. Yosia alikuwa na wana wanne: Yohanani, mzaliwa wake wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia na wa nne Shalumu.
16. Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.
17. Wana wa Yekonia aliyechukuliwa mateka na Wababuloni walikuwa saba: Shealtieli,
18. Malkiramu, Pedaya, Shenazari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.