Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 28:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli alinichagua mimi miongoni mwa jamaa ya baba yangu kuwa mfalme wa Israeli milele. Alilichagua kabila la Yuda liongoze; na kutokana na kabila hilo, aliichagua jamaa ya baba yangu, na miongoni mwa wana wa baba yangu, alipendezwa nami na kuniweka niwe mfalme wa Israeli yote.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 28

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 28:4 katika mazingira