9. Kura ya 1 ilimwangukia Yosefu wa jamaa ya Asafu; ya 2 Gedalia pamoja na ndugu zake na wanawe kumi na wawili;
10. ya 3 Zakuri pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
11. ya 4 ilimwangukia Seri pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
12. ya 5 Nethania; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
13. ya 6 Bukia; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
14. ya 7 Asharela; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
15. ya 8 Yeshaya; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
16. ya 9 Matania; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
17. ya 10 Shimei; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
18. ya 11 Azareli; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
19. ya 12 Hashabia; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;