27. ya 20 Eliatha; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
28. ya 21 Hothiri; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
29. ya 22 Gidalti; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili,
30. ya 23 Mahaziothi; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili,
31. ya 24 ilimwangukia Romamti-ezeri; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili.