Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 25:21-30 Biblia Habari Njema (BHN)

21. ya 14 Matithia; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;

22. ya 15 Yeremothi; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;

23. ya 16 Hanania; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;

24. ya 17 Yoshbekasha; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;

25. ya 18 Hanani; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;

26. ya 19 Malothi; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;

27. ya 20 Eliatha; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;

28. ya 21 Hothiri; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;

29. ya 22 Gidalti; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili,

30. ya 23 Mahaziothi; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 25