11. ya 4 ilimwangukia Seri pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
12. ya 5 Nethania; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
13. ya 6 Bukia; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
14. ya 7 Asharela; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
15. ya 8 Yeshaya; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
16. ya 9 Matania; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
17. ya 10 Shimei; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
18. ya 11 Azareli; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
19. ya 12 Hashabia; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
20. ya 13 Shebueli; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
21. ya 14 Matithia; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
22. ya 15 Yeremothi; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
23. ya 16 Hanania; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
24. ya 17 Yoshbekasha; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
25. ya 18 Hanani; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;