Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 25:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Daudi na viongozi wa Walawi, waliwateua baadhi ya wana wa Asafu, wa Hemani, na wa Yeduthuni, kuongoza katika huduma ya kutabiri kwa kutumia vinubi, na vinanda na matoazi. Hii ndiyo orodha ya wale waliochaguliwa kuongoza ibada, pamoja na aina ya kazi iliyofanywa na kila kikundi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 25

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 25:1 katika mazingira