Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 24:23-31 Biblia Habari Njema (BHN)

23. Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria wa kwanza, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yakameamu wa nne.

24. Mmoja wa wana wa Uzieli alikuwa Mika. Mmoja wa wazawa wa Mika alikuwa Shamire.

25. Mmoja wa wazawa wa Ishia nduguye Mika alikuwa Zekaria.

26. Wana wa Merari: Mahli, Mushi na Yaazia;

27. wazawa wa Merari kwa mwanawe Yaazia: Shohamu, Zakuri na Ibri.

28. Wana wa Mahli: Eleazari ambaye hakupata mtoto,

29. Kishi ambaye alikuwa na mwana mmoja: Yerameeli.

30. Mushi alikuwa na wana watatu: Mahli, Ederi na Yeremothi. Wao ni wazawa wa Lawi kulingana na koo zao.

31. Pia hao wote walipiga kura kufuatana na ukoo wa kila mkuu na mdogo wake, kama wazawa wa Aroni walivyofanya. Walipiga kura mbele ya mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 24