Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 24:21-24 Biblia Habari Njema (BHN)

21. Mmoja wa wazawa wa Rehabia alikuwa Ishio kiongozi wa ukoo.

22. Mmoja wa wazawa wa Ishio alikuwa Shelomithi na wa wazawa wa Shelomithi alikuwa Yahathi.

23. Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria wa kwanza, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yakameamu wa nne.

24. Mmoja wa wana wa Uzieli alikuwa Mika. Mmoja wa wazawa wa Mika alikuwa Shamire.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 24