12. ya 11 Eliashibu; ya 12 Yakimu;
13. ya 13 Hupa; ya 14 Yeshebeabu;
14. ya 15 Bilga; ya 16 Imeri;
15. ya 17 Heziri; ya 18 Hapisesi;
16. ya 19 Pethahia; ya 20 Yehezkeli;
17. ya 21 Yakini; ya 22 Gamuli;
18. ya 23 Delaya; na ya 24 Maazia.
19. Hawa waliandikishwa kulingana na kazi zao kuingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kutoa huduma, kadiri ya utaratibu waliowekewa na Aroni babu yao, kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli.