Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 24:12-19 Biblia Habari Njema (BHN)

12. ya 11 Eliashibu; ya 12 Yakimu;

13. ya 13 Hupa; ya 14 Yeshebeabu;

14. ya 15 Bilga; ya 16 Imeri;

15. ya 17 Heziri; ya 18 Hapisesi;

16. ya 19 Pethahia; ya 20 Yehezkeli;

17. ya 21 Yakini; ya 22 Gamuli;

18. ya 23 Delaya; na ya 24 Maazia.

19. Hawa waliandikishwa kulingana na kazi zao kuingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kutoa huduma, kadiri ya utaratibu waliowekewa na Aroni babu yao, kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 24