Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 23:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao ndio wana wa Lawi kulingana na koo zao. Kila mmoja wao aliyetimiza umri wa miaka ishirini na zaidi, aliandikishwa kwa jina, na alishiriki katika huduma ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 23

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 23:24 katika mazingira