Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 21:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yoabu akasema, “Mwenyezi-Mungu na awaongeze Waisraeli mara mia kuliko walivyo sasa! Bwana wangu mfalme, kwani hawa wote si watumishi wako? Kwa nini basi unataka kufanya jambo ambalo litawatia Waisraeli katika hatia?”

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 21

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 21:3 katika mazingira