Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 2:8-11 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Ethani alikuwa na mwana mmoja, jina lake Azaria.

9. Wana wa Hesroni walikuwa Yerameeli, Ramu na Kelubai.

10. Ramu alimzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa kabila la Yuda.

11. Nashoni alimzaa Salma, Salma akamzaa Boazi,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 2