Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 18:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Baada ya hayo, mfalme Daudi aliwashinda na kuwatiisha Wafilisti. Akauteka mji wa Gathi pamoja na vijiji vyake walivyomiliki Wafilisti.

2. Aliwashinda Wamoabu pia, wakawa watumishi wake na wakawa wanalipa kodi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 18