Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 15:3-7 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Basi, akawakusanya Waisraeli wote waje Yerusalemu, ili kulileta sanduku la Mwenyezi-Mungu mahali alipolitayarishia.

4. Halafu Daudi akawaita wazawa wa Aroni na Walawi:

5. Kutoka katika ukoo wa Kohathi, wakaja Urieli, pamoja na ndugu zake120 chini ya usimamizi wake;

6. kutoka katika ukoo wa Merari wakaja Asaya pamoja na ndugu zake 220 chini ya usimamizi wake;

7. kutoka katika ukoo wa Gershomu, wakaja Yoeli pamoja na ndugu zake 130 chini ya usimamizi wake;

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 15