Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 14:3-6 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Huko Yerusalemu, Daudi alioa wake wengi zaidi, naye akazaa wana na mabinti wengine.

4. Yafuatayo ndio majina ya watoto aliozaa huko Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,

5. Ibhari, Elishua, Elpeleti,

6. Noga, Nefegi, Yafia,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 14