Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 13:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alikasirika kwa sababu Mwenyezi-Mungu alimuua Uza akiwa na hasira. Kwa sababu hiyo, mahali hapo huitwa Peres-uza hadi leo.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 13

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 13:11 katika mazingira