Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 12:6-14 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Elkana, Ishia, Azareli, Yoezeri, Yashobeamu kutoka ukoo wa Kora

7. na Yoela na Zebadia, wana wa Yerohamu, kutoka Gedori.

8. Tena, watu kutoka kabila la Gadi walijiunga na Daudi akiwa ngomeni kule nyikani. Hawa walikuwa askari wenye nguvu na uzoefu, hodari wa kutumia ngao na mkuki; wenye nyuso za kutisha kama simba na wepesi kama swala milimani.

9. Kiongozi wao mkuu alikuwa Ezeri, wa pili Obadia, wa tatu Eliabu,

10. wa nne Mishmana, wa tano Yeremia,

11. wa sita Atai, wa saba Elieli,

12. wa nane Yohanani, wa tisa Elsabadi,

13. wa kumi Yeremia, na wa kumi na moja Makbanai.

14. Wagadi hao, walikuwa maofisa wa jeshi. Kulingana na vyeo vyao, mdogo alisimamia kikosi cha wanajeshi 100, na mkubwa alisimamia kikosi cha wanajeshi 1,000.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 12