Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 12:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hawa ni wanaume ambao walijiunga na Daudi huko Siklagi, alipokuwa hana uhuru wowote wa kutembea kwa sababu ya mfalme Shauli mwana wa Kishi; walikuwa miongoni mwa askari mashujaa waliomsaidia vitani.

2. Hao walikuwa watu wa kabila la Benyamini kama alivyokuwa Shauli. Walikuwa wapiga upinde hodari, na warusha mawe kwa kombeo kwa kutumia mikono yote, wa kulia na kushoto.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 12