40. Ira na Garebu, waliokuwa Waithri,
41. Uria, Mhiti; Zabadi, mwana wa Ahlai;
42. Adina, mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini;
43. Hanani, mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni;
44. Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli, wana wa Hothamu Mwaroeri;
45. Yediaeli na Yoha nduguye, wana wa Shimri Mtizi;