38. Yoeli, nduguye Nathani; Mibhari, mwana wa Hagri;
39. Zeleki Mwamoni; Naharai Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;
40. Ira na Garebu, waliokuwa Waithri,
41. Uria, Mhiti; Zabadi, mwana wa Ahlai;
42. Adina, mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini;