Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 11:38-42 Biblia Habari Njema (BHN)

38. Yoeli, nduguye Nathani; Mibhari, mwana wa Hagri;

39. Zeleki Mwamoni; Naharai Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

40. Ira na Garebu, waliokuwa Waithri,

41. Uria, Mhiti; Zabadi, mwana wa Ahlai;

42. Adina, mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini;

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 11