Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 11:37-47 Biblia Habari Njema (BHN)

37. Hezro Mkarmeli; Naarai, mwana wa Ezbai;

38. Yoeli, nduguye Nathani; Mibhari, mwana wa Hagri;

39. Zeleki Mwamoni; Naharai Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

40. Ira na Garebu, waliokuwa Waithri,

41. Uria, Mhiti; Zabadi, mwana wa Ahlai;

42. Adina, mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini;

43. Hanani, mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni;

44. Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli, wana wa Hothamu Mwaroeri;

45. Yediaeli na Yoha nduguye, wana wa Shimri Mtizi;

46. Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu; Ithma Mmoabu;

47. Elieli, Obedi, na Yaasieli Mmesobai.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 11