35. Ahiamu, mwana wa Sakari Mharari; Elifali, mwana wa Uri;
36. Heferi Mmekerathi; Ahiya Mpeloni;
37. Hezro Mkarmeli; Naarai, mwana wa Ezbai;
38. Yoeli, nduguye Nathani; Mibhari, mwana wa Hagri;
39. Zeleki Mwamoni; Naharai Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;