Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 11:35-39 Biblia Habari Njema (BHN)

35. Ahiamu, mwana wa Sakari Mharari; Elifali, mwana wa Uri;

36. Heferi Mmekerathi; Ahiya Mpeloni;

37. Hezro Mkarmeli; Naarai, mwana wa Ezbai;

38. Yoeli, nduguye Nathani; Mibhari, mwana wa Hagri;

39. Zeleki Mwamoni; Naharai Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 11