Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 11:28-33 Biblia Habari Njema (BHN)

28. Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi;

29. Sibekai Mhushathi; Ilai Mwahohi;

30. Maharai Mnetofathi; Heledi, mwana wa Baana Mnetofathi;

31. Itai, mwana wa Ribai, kutoka Gibea, wa kabila la Benyamini; Benaya Mpirathoni;

32. Hurai kutoka vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;

33. Azmawethi Mbaharumu; Eliaba Mshaalboni;

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 11