Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 11:27-39 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Shamothi Mharodi, Helesi Mpeloni,

28. Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi;

29. Sibekai Mhushathi; Ilai Mwahohi;

30. Maharai Mnetofathi; Heledi, mwana wa Baana Mnetofathi;

31. Itai, mwana wa Ribai, kutoka Gibea, wa kabila la Benyamini; Benaya Mpirathoni;

32. Hurai kutoka vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;

33. Azmawethi Mbaharumu; Eliaba Mshaalboni;

34. wana wa Yasheni Mgiloni; Yonathani, mwana wa Shagee Mharari,

35. Ahiamu, mwana wa Sakari Mharari; Elifali, mwana wa Uri;

36. Heferi Mmekerathi; Ahiya Mpeloni;

37. Hezro Mkarmeli; Naarai, mwana wa Ezbai;

38. Yoeli, nduguye Nathani; Mibhari, mwana wa Hagri;

39. Zeleki Mwamoni; Naharai Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 11