Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 10:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Basi, Wafilisti walipigana vita dhidi ya Waisraeli; nao Waisraeli walikimbia mbele ya Wafilisti na kuuawa katika mlima wa Gilboa.

2. Lakini Wafilisti wakamzingira Shauli na wanawe, kisha wakawaua Yonathani, Abinadabu na Malki-shua wana wa Shauli.

3. Vita vilikuwa vikali sana dhidi ya Shauli. Wapiga mishale walipomwona walimjeruhi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 10