Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 4:46 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu.

Kusoma sura kamili Yohane 4

Mtazamo Yohane 4:46 katika mazingira