Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 20:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, “Amani kwenu!”

Kusoma sura kamili Yohane 20

Mtazamo Yohane 20:19 katika mazingira